Back to Top

Augustino Mtaningu - Augustino Mtaningu - Umenipendelea (Official Audio) Lyrics



Augustino Mtaningu - Augustino Mtaningu - Umenipendelea (Official Audio) Lyrics
Official




Eeh Bwana!
Eeh Bwana!
Umenijengea uwezo
Sauti yako naisikia
Viwango nimepanda
Natafsiri mambo kwa uhalisia
Kweli Neema yako ni Upendeleo
Nakujia kwa Moyo
Nimemaliza mwaka
Nimefungua mwaka
Mengi nimejionea
Vita umenishindia
Njia umenifungulia
Viwango umenipandisha
Japo Sina mengi mema
Bali Neema yako umenipendelea
Umenijengea uwezo
Sauti yako naisikia
Viwango nimepanda
Natafsiri mambo kwa uhalisia
Kweli Neema yako ni Upendeleo
Kwa Jina la Yesu
Nitalihimidi milele
Nimekuwa zaidi na zaidi
Kwa Jina hili
Ooh Bwana
Neema yako isiniache
Niende wapi
Na kwako Kuna maneno ya uzima
Umenijengea uwezo
Sauti yako naisikia
Viwango nimepanda
Natafsiri mambo kwa uhalisia
Kweli Neema yako ni Upendeleo
Kwa Jina la Yesu
Nitalihimidi milele
Nimekuwa zaidi na zaidi
Kwa Jina hili
Ooh Bwana
Neema yako isiniache
Niende wapi
Na kwako Kuna maneno ya uzima
Umenijengea uwezo
Sauti yako naisikia
Viwango nimepanda
Natafsiri mambo kwa uhalisia
Kweli Neema yako ni Upendeleo
[ Correct these Lyrics ]

[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


English

Eeh Bwana!
Eeh Bwana!
Umenijengea uwezo
Sauti yako naisikia
Viwango nimepanda
Natafsiri mambo kwa uhalisia
Kweli Neema yako ni Upendeleo
Nakujia kwa Moyo
Nimemaliza mwaka
Nimefungua mwaka
Mengi nimejionea
Vita umenishindia
Njia umenifungulia
Viwango umenipandisha
Japo Sina mengi mema
Bali Neema yako umenipendelea
Umenijengea uwezo
Sauti yako naisikia
Viwango nimepanda
Natafsiri mambo kwa uhalisia
Kweli Neema yako ni Upendeleo
Kwa Jina la Yesu
Nitalihimidi milele
Nimekuwa zaidi na zaidi
Kwa Jina hili
Ooh Bwana
Neema yako isiniache
Niende wapi
Na kwako Kuna maneno ya uzima
Umenijengea uwezo
Sauti yako naisikia
Viwango nimepanda
Natafsiri mambo kwa uhalisia
Kweli Neema yako ni Upendeleo
Kwa Jina la Yesu
Nitalihimidi milele
Nimekuwa zaidi na zaidi
Kwa Jina hili
Ooh Bwana
Neema yako isiniache
Niende wapi
Na kwako Kuna maneno ya uzima
Umenijengea uwezo
Sauti yako naisikia
Viwango nimepanda
Natafsiri mambo kwa uhalisia
Kweli Neema yako ni Upendeleo
[ Correct these Lyrics ]
Writer: Augustino Mtaningu
Copyright: Lyrics © O/B/O DistroKid




Augustino Mtaningu - Augustino Mtaningu - Umenipendelea (Official Audio) Video
(Show video at the top of the page)


Performed By: Augustino Mtaningu
Language: English
Length: 3:14
Written by: Augustino Mtaningu
[Correct Info]
Tags:
No tags yet