Back to Top

Now a days Video (MV)




Performed By: ESIR
Language: English
Length: 2:45
Written by: Essa Noor
[Correct Info]



ESIR - Now a days Lyrics
Official




Now a days kupata mtu true imekua rare
Media wanarusha vitu false kwenye hewa
Hakuna wakuamini labda mungu wakutegemea
Hakuna leaders wote ni matumbo ya sio shiba
Kuamka bila food kwa meza hio ni kitu kawa
Kula na kushiba kwetu sikitu kawa
Kuna wale hawakusoma wao ndio hupeana ajira
Degree imekua pillow skuinvest kwa biashara
Tunafight for the better hakuna freedom inaeza kuja ukiwa coward
Kuproof ukona nyota avoid kurudi nyuma
Usilale usilegee kiburi weka mbele
Kuna milango inataka nguvu ndio ifunguke
Dua bila dhambi hio ni maombi ya bure
Mkidhani mmeniangusha nasimama na ujasiri
Mkidhani mi ni msiri mi si msiri pilipili ikiniwasha nabobokwa mtabiri
Now a days kupata mtu true imekua rare
Media wanarusha vitu false kwenye hewa
Hakuna wakuamini labda mungu wakutegemea
Hakuna leaders wote ni matumbo ya sio shiba
Fungeni njia bado naeza paa
Usieke nia usingizini hio nakataa unapokula mzaza jua kuna mzaha
Na pia unapokosa kumbuka msamaha
Hakuna haki inaotendeka bila ovu
Tenda dhambi alafu wema hapo manufaa
Lakini wema alafu dhambi hapo ni majanga
Balaa Au hapo ni matanga
Wanasema baada ya dhiki ni faraja sijai pitia dhiki na nimejawa na furaha
Kuna wenye kuzubaa kivyovyote watalaala
Na wenye kungangana kivyovyote watapaa
Watu feki nawaahidi mtanikuta juu
Na wenye kuningata nyote nawazoom
Kimziki niko chini maproducer wanafume
Ofcourse hii ni truth Wanatry kunisnooze
Lakini Watafeli kama chelsea blues
Now a days kupata mtu true imekua rare
Media wanarusha vitu false kwenye hewa
Hakuna wakuamini labda mungu wakutegemea
Hakuna leaders wote ni matumbo ya sio shiba
[ Correct these Lyrics ]

[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


English

Now a days kupata mtu true imekua rare
Media wanarusha vitu false kwenye hewa
Hakuna wakuamini labda mungu wakutegemea
Hakuna leaders wote ni matumbo ya sio shiba
Kuamka bila food kwa meza hio ni kitu kawa
Kula na kushiba kwetu sikitu kawa
Kuna wale hawakusoma wao ndio hupeana ajira
Degree imekua pillow skuinvest kwa biashara
Tunafight for the better hakuna freedom inaeza kuja ukiwa coward
Kuproof ukona nyota avoid kurudi nyuma
Usilale usilegee kiburi weka mbele
Kuna milango inataka nguvu ndio ifunguke
Dua bila dhambi hio ni maombi ya bure
Mkidhani mmeniangusha nasimama na ujasiri
Mkidhani mi ni msiri mi si msiri pilipili ikiniwasha nabobokwa mtabiri
Now a days kupata mtu true imekua rare
Media wanarusha vitu false kwenye hewa
Hakuna wakuamini labda mungu wakutegemea
Hakuna leaders wote ni matumbo ya sio shiba
Fungeni njia bado naeza paa
Usieke nia usingizini hio nakataa unapokula mzaza jua kuna mzaha
Na pia unapokosa kumbuka msamaha
Hakuna haki inaotendeka bila ovu
Tenda dhambi alafu wema hapo manufaa
Lakini wema alafu dhambi hapo ni majanga
Balaa Au hapo ni matanga
Wanasema baada ya dhiki ni faraja sijai pitia dhiki na nimejawa na furaha
Kuna wenye kuzubaa kivyovyote watalaala
Na wenye kungangana kivyovyote watapaa
Watu feki nawaahidi mtanikuta juu
Na wenye kuningata nyote nawazoom
Kimziki niko chini maproducer wanafume
Ofcourse hii ni truth Wanatry kunisnooze
Lakini Watafeli kama chelsea blues
Now a days kupata mtu true imekua rare
Media wanarusha vitu false kwenye hewa
Hakuna wakuamini labda mungu wakutegemea
Hakuna leaders wote ni matumbo ya sio shiba
[ Correct these Lyrics ]
Writer: Essa Noor
Copyright: Lyrics © O/B/O DistroKid

Back to: ESIR

Tags:
No tags yet