Back to Top

Augustino Mtaningu - Augustino Mtaningu - Baba Ahsante (Official Audio) (Special Version) Lyrics



Augustino Mtaningu - Augustino Mtaningu - Baba Ahsante (Official Audio) (Special Version) Lyrics
Official




Ee Baba!
Baba
Baba ahsante
Ndani yangu nakuona
Kwa kinywa changu
Yako nayanena
Rehema na wokovu
Mbele naviona
Ahsante kwa hii nguvu
Maumivu haya ni ubinadamu
Nitulize kwa yako damu
Sina muda wa hofu
Natambua upo karibu yangu
Hata kama sikuoni
Neema yako yanishuhudia
Usiwe na Kikomo
Mungu wa miungu
Wengi hawajakutambua
Ila kwangu umejitambulisha
Ahsante Tena na Tena
Ufalme wako ni wanguvu
Kwa Yesu tumeupata
Mashetani yanatutii
Kwa damu yako ninashinda
Kila wakati
Mema unaniwazia
Kwako ndio uhalisia wangu
Usiniache peke yangu
Hakuna niwezalo
Baba nakuona
Upo ndani yangu
Kwa kinywa changu
Yako nayanena
Rehema na wokovu
Mbele naviona
Ahsante kwa hii nguvu
Ufalme wako ni wanguvu
Kwa Yesu tumeupata
Mashetani yanatutii
Kwa damu yako ninashinda
Kila wakati
Mema unaniwazia
Kwako ndio uhalisia wangu
Usiniache peke yangu
Hakuna niwezalo
Ufalme wako ni wanguvu
Kwa Yesu tumeupata
Mashetani yanatutii
Kwa damu yako ninashinda
Kila wakati
Mema unaniwazia
Kwako ndio uhalisia wangu
Usiniache peke yangu
Hakuna niwezalo
[ Correct these Lyrics ]

[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


English

Ee Baba!
Baba
Baba ahsante
Ndani yangu nakuona
Kwa kinywa changu
Yako nayanena
Rehema na wokovu
Mbele naviona
Ahsante kwa hii nguvu
Maumivu haya ni ubinadamu
Nitulize kwa yako damu
Sina muda wa hofu
Natambua upo karibu yangu
Hata kama sikuoni
Neema yako yanishuhudia
Usiwe na Kikomo
Mungu wa miungu
Wengi hawajakutambua
Ila kwangu umejitambulisha
Ahsante Tena na Tena
Ufalme wako ni wanguvu
Kwa Yesu tumeupata
Mashetani yanatutii
Kwa damu yako ninashinda
Kila wakati
Mema unaniwazia
Kwako ndio uhalisia wangu
Usiniache peke yangu
Hakuna niwezalo
Baba nakuona
Upo ndani yangu
Kwa kinywa changu
Yako nayanena
Rehema na wokovu
Mbele naviona
Ahsante kwa hii nguvu
Ufalme wako ni wanguvu
Kwa Yesu tumeupata
Mashetani yanatutii
Kwa damu yako ninashinda
Kila wakati
Mema unaniwazia
Kwako ndio uhalisia wangu
Usiniache peke yangu
Hakuna niwezalo
Ufalme wako ni wanguvu
Kwa Yesu tumeupata
Mashetani yanatutii
Kwa damu yako ninashinda
Kila wakati
Mema unaniwazia
Kwako ndio uhalisia wangu
Usiniache peke yangu
Hakuna niwezalo
[ Correct these Lyrics ]
Writer: Augustino Mtaningu
Copyright: Lyrics © O/B/O DistroKid




Augustino Mtaningu - Augustino Mtaningu - Baba Ahsante (Official Audio) (Special Version) Video
(Show video at the top of the page)


Performed By: Augustino Mtaningu
Language: English
Length: 3:35
Written by: Augustino Mtaningu
[Correct Info]
Tags:
No tags yet