Back to Top

Unapolemewa. Video (MV)




Performed By: Monato Women Ministry
Language: English
Length: 7:27
Written by: George Chacha
[Correct Info]



Monato Women Ministry - Unapolemewa. Lyrics




(Ewe Bwana Wangu)
Ninapolemewa, (Wewe) Wewe wanipa faraja
(Nikikosa nguvu) Na nikosapo nguvu
(Wewe) Wewe wanitia nguvu
(Hata kwa machungu) Hata kwa machungu
(Bwana) Bwana wanipa amani
(Wewe ngome yangu) Wewe ngome yangu
(Mwamba) Mwamba wa wokovu wangu

(Ewe Bwana Wangu)
Ninapolemewa, (Wewe) Wewe wanipa faraja
(Nikikosa nguvu) Na nikosapo nguvu
(Wewe) Wewe wanitia nguvu
(Hata kwa machungu) Hata kwa machungu
(Bwana) Bwana wanipa amani
(Wewe ngome yangu) Wewe ngome yangu
(Mwamba) Mwamba wa wokovu wangu

Bwana wangu Yesu, Wewe kimbilio langu
Unanifariji na kunipa tumaini
Wakati wa shida, mimi sitayumba yumba
Bwana wangu Yesu, ni msaada wa karibu

Bwana wangu Yesu, Wewe kimbilio langu
Unanifariji, (Na kunipa) Na kunipa tumaini
Wakati wa shida, mimi sitayumba yumba
Bwana wangu Yesu, ni msaada wa karibu

(Ewe Bwana Wangu)
Ninapolemewa, (Wewe) Wewe wanipa faraja
(Nikikosa nguvu) Na nikosapo nguvu
(Wewe) Wewe wanitia nguvu
(Hata kwa machungu) Hata kwa machungu
(Bwana) Bwana wanipa amani
(Wewe ngome yangu) Wewe ngome yangu
(Mwamba) Mwamba wa wokovu wangu

(Ewe Bwana Wangu)
Ninapolemewa, (Wewe) Wewe wanipa faraja
(Nikikosa nguvu) Na nikosapo nguvu
(Wewe) Wewe wanitia nguvu
(Hata kwa machungu) Hata kwa machungu
(Bwana) Bwana wanipa amani
(Wewe ngome yangu) Wewe ngome yangu
(Mwamba) Mwamba wa wokovu wangu

Dunia huzuni, twapatwa na maumivu
Usiku mchana, hofu na mahangaiko
Lakini kwa Yesu, tunapata nguvu tele
Walokosa nguvu, mje kwake Bwana Yesu

Dunia huzuni, twapatwa na maumivu
Usiku na mchana, hofu na mahangaiko
Lakini kwa Yesu, tunapata nguvu tele
Walokosa nguvu, mje kwake Bwana Yesu

(Ewe Bwana Wangu)
Ninapolemewa, (Wewe) Wewe wanipa faraja
(Nikikosa nguvu) Na nikosapo nguvu
(Wewe) Wewe wanitia nguvu
(Hata kwa machungu) Hata kwa machungu
(Bwana) Bwana wanipa amani
(Wewe ngome yangu) Wewe ngome yangu
(Mwamba) Mwamba wa wokovu wangu

(Ewe Bwana Wangu)
Ninapolemewa, (Wewe) Wewe wanipa faraja
(Nikikosa nguvu) Na nikosapo nguvu
(Wewe) Wewe wanitia nguvu
(Hata kwa machungu) Hata kwa machungu
(Bwana) Bwana wanipa amani
(Wewe ngome yangu) Wewe ngome yangu
(Mwamba) Mwamba wa wokovu wangu

Maumivu mengi, yanapo nisonga moyoni
Mafikira nazo, hata nikate tamaa
Ndipo Emmanueli, anifikia kwa wakati
Na kuzitatua, hitaji la moyo wangu

Maumivu mengi, yanapo nisonga moyoni
Mafikira nazo, hata nikatapo tamaa
Ndipo Emmanueli, anifikia kwa wakati
(Yeye) Na kuzitatua, hitaji la moyo wangu

(Ewe Bwana Wangu)
Ninapolemewa, (Wewe) Wewe wanipa faraja
(Nikikosa nguvu) Na nikosapo nguvu
(Wewe) Wewe wanitia nguvu
(Hata kwa machungu) Hata kwa machungu
(Bwana) Bwana wanipa amani
(Wewe ngome yangu) Wewe ngome yangu
(Mwamba) Mwamba wa wokovu wangu

(Ewe Bwana Wangu)
Ninapolemewa, (Wewe) Wewe wanipa faraja
(Nikikosa nguvu) Na nikosapo nguvu
(Wewe) Wewe wanitia nguvu
(Hata kwa machungu) Hata kwa machungu
(Bwana) Bwana wanipa amani
(Wewe ngome yangu) Wewe ngome yangu
(Mwamba) Mwamba wa wokovu wangu
[ Correct these Lyrics ]

[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


English

(Ewe Bwana Wangu)
Ninapolemewa, (Wewe) Wewe wanipa faraja
(Nikikosa nguvu) Na nikosapo nguvu
(Wewe) Wewe wanitia nguvu
(Hata kwa machungu) Hata kwa machungu
(Bwana) Bwana wanipa amani
(Wewe ngome yangu) Wewe ngome yangu
(Mwamba) Mwamba wa wokovu wangu

(Ewe Bwana Wangu)
Ninapolemewa, (Wewe) Wewe wanipa faraja
(Nikikosa nguvu) Na nikosapo nguvu
(Wewe) Wewe wanitia nguvu
(Hata kwa machungu) Hata kwa machungu
(Bwana) Bwana wanipa amani
(Wewe ngome yangu) Wewe ngome yangu
(Mwamba) Mwamba wa wokovu wangu

Bwana wangu Yesu, Wewe kimbilio langu
Unanifariji na kunipa tumaini
Wakati wa shida, mimi sitayumba yumba
Bwana wangu Yesu, ni msaada wa karibu

Bwana wangu Yesu, Wewe kimbilio langu
Unanifariji, (Na kunipa) Na kunipa tumaini
Wakati wa shida, mimi sitayumba yumba
Bwana wangu Yesu, ni msaada wa karibu

(Ewe Bwana Wangu)
Ninapolemewa, (Wewe) Wewe wanipa faraja
(Nikikosa nguvu) Na nikosapo nguvu
(Wewe) Wewe wanitia nguvu
(Hata kwa machungu) Hata kwa machungu
(Bwana) Bwana wanipa amani
(Wewe ngome yangu) Wewe ngome yangu
(Mwamba) Mwamba wa wokovu wangu

(Ewe Bwana Wangu)
Ninapolemewa, (Wewe) Wewe wanipa faraja
(Nikikosa nguvu) Na nikosapo nguvu
(Wewe) Wewe wanitia nguvu
(Hata kwa machungu) Hata kwa machungu
(Bwana) Bwana wanipa amani
(Wewe ngome yangu) Wewe ngome yangu
(Mwamba) Mwamba wa wokovu wangu

Dunia huzuni, twapatwa na maumivu
Usiku mchana, hofu na mahangaiko
Lakini kwa Yesu, tunapata nguvu tele
Walokosa nguvu, mje kwake Bwana Yesu

Dunia huzuni, twapatwa na maumivu
Usiku na mchana, hofu na mahangaiko
Lakini kwa Yesu, tunapata nguvu tele
Walokosa nguvu, mje kwake Bwana Yesu

(Ewe Bwana Wangu)
Ninapolemewa, (Wewe) Wewe wanipa faraja
(Nikikosa nguvu) Na nikosapo nguvu
(Wewe) Wewe wanitia nguvu
(Hata kwa machungu) Hata kwa machungu
(Bwana) Bwana wanipa amani
(Wewe ngome yangu) Wewe ngome yangu
(Mwamba) Mwamba wa wokovu wangu

(Ewe Bwana Wangu)
Ninapolemewa, (Wewe) Wewe wanipa faraja
(Nikikosa nguvu) Na nikosapo nguvu
(Wewe) Wewe wanitia nguvu
(Hata kwa machungu) Hata kwa machungu
(Bwana) Bwana wanipa amani
(Wewe ngome yangu) Wewe ngome yangu
(Mwamba) Mwamba wa wokovu wangu

Maumivu mengi, yanapo nisonga moyoni
Mafikira nazo, hata nikate tamaa
Ndipo Emmanueli, anifikia kwa wakati
Na kuzitatua, hitaji la moyo wangu

Maumivu mengi, yanapo nisonga moyoni
Mafikira nazo, hata nikatapo tamaa
Ndipo Emmanueli, anifikia kwa wakati
(Yeye) Na kuzitatua, hitaji la moyo wangu

(Ewe Bwana Wangu)
Ninapolemewa, (Wewe) Wewe wanipa faraja
(Nikikosa nguvu) Na nikosapo nguvu
(Wewe) Wewe wanitia nguvu
(Hata kwa machungu) Hata kwa machungu
(Bwana) Bwana wanipa amani
(Wewe ngome yangu) Wewe ngome yangu
(Mwamba) Mwamba wa wokovu wangu

(Ewe Bwana Wangu)
Ninapolemewa, (Wewe) Wewe wanipa faraja
(Nikikosa nguvu) Na nikosapo nguvu
(Wewe) Wewe wanitia nguvu
(Hata kwa machungu) Hata kwa machungu
(Bwana) Bwana wanipa amani
(Wewe ngome yangu) Wewe ngome yangu
(Mwamba) Mwamba wa wokovu wangu
[ Correct these Lyrics ]
Writer: George Chacha
Copyright: Lyrics © O/B/O DistroKid


Tags:
No tags yet